Kwa wale wasomaji wa biblia tunaona ya kuwa Yusuph alikuwa anaweza kutafsri ndoto za watu je wewe unaweza kama kijana?. Kama kijana unaweza kujiuliza ndani yako umebeba nini? Je unajua thamani yako kama kijana?je rafiki uliyenaya ana ndoto kama za kwako. Hayo ni maswali ya kijiuliza kama kijana na pia unatakiwa ujue kuwa sio kila ndoto unayoota unapaswa kuisema zingine ni siri.