Dhumuni la wewe kuwepo duniani

Ni lazima ujue wewe ni kwanini ulikuja duniani kama binadamu  wala sio ng’ombe, mbuzi ,samba au hata mnyama au mdudu mwingine yoyote ni kwa sababu kuna kusudio Mungu aliloliweka ndani yako na ni lazima ulijue na ulifanyie kazi kwa wakati unaostahili kwamaana ukilojua tu alafu haulifanyii kazi haitakusaidia chochote na vizuri ukajua mapema na ukaweza kufanya mambo makubwa zaidi hata jamii ikashangazwa na ulichokifanya kusudio ni ujue nini kimekuleta duniani.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s