Kumjua Mungu

Bila kumjua Mungu hautaweza kufanikiwa  katika kiimani na pia kimwili bila kuangalia dini au imani yako watu wote wanamuhitaji Mungu katika maisha yako kwa hiyo basi unatakiwa ujitahidi walaukila mara uwe unamwabudu Mungu wako sababu yeye ndio kila ktu chukulia mfano kama tungekuwa tunaendesha maisha yetu wenyewe tungelikuwa wapi hivi leo kama sio tungekwishakufa  jamani tumtafute sana Mungu wetu.

Leave a Reply

Fill in your details below or click an icon to log in:

WordPress.com Logo

You are commenting using your WordPress.com account. Log Out /  Change )

Twitter picture

You are commenting using your Twitter account. Log Out /  Change )

Facebook photo

You are commenting using your Facebook account. Log Out /  Change )

Connecting to %s