Bila kumjua Mungu hautaweza kufanikiwa katika kiimani na pia kimwili bila kuangalia dini au imani yako watu wote wanamuhitaji Mungu katika maisha yako kwa hiyo basi unatakiwa ujitahidi walaukila mara uwe unamwabudu Mungu wako sababu yeye ndio kila ktu chukulia mfano kama tungekuwa tunaendesha maisha yetu wenyewe tungelikuwa wapi hivi leo kama sio tungekwishakufa jamani tumtafute sana Mungu wetu.